iqna

IQNA

Mtazamo
IQNA – Aya ya 32 ya Surah Al-Ma’idah ya Qur’ani Tukufu inasisitiza kanuni ya maadili ya utakatifu wa maisha ya binadamu, amesema msomi wa Afrika.
Habari ID: 3480351    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11

Mtazamo wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani amelaani mauaji ya kiholela hivi karibuni katika shule huko Texas, Marekani ambapo watu 22 waliuawa huku akiashiria aya ya 32 ya Sura Al Maidah katika Qur'ani Tukufu inayozungumzia matukio kama hayo ya mauaji yasiyo na msingi.
Habari ID: 3475303    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27